![]() |
Kwenye kikao hicho Mhe. Waziri ameiagiza Bodi ya Chai Tanzania (TBT), TSHTDA,
TRIT kuwatembela wakulima wa chai ili
kuwasaidia kulima chai kwa kiwango kizuri na chenye tija. Vilevile ameagiza iundwe kamati maalum itakayoshirikisha taasisi zote muhimu, kwenda kiwandani na kufanya uchambuzi wa
uzalishaji wa kiwanda hicho na pia kuwatembelea wakulima wa chai ili kupata ripoti ambayo
itawasidia wakulima kunufaika na kilimo. Ameipa kamati hiyo wiki mbili kukamilisha kazi hiyo na kuwasilisha ripoti ofisini kwake.
Pia amesema mwezi wa kwanza atavitembelea viwanda vya Mponde
na Lupemba ili kutafuta mstaakabali mzuri wa viwanda viwanda vyote ya chai nchi.
|
![]() |



